MATUKIO MBALI MBALI YA PICHA BUNGENI LEO
Mwigulu Mchemba ( kulia ) wa jimbo la Iramba Mashariki akibadishana hoja na Mbunge wa Namtumbo Vita Kawawa wote ni wabunge wa CCM Bungeni Dodoma Maafisa wa Bunge wakiwa makini kufuatilia hoja mbalimbali za Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa Fedha 2012-2013. Mbunge wa Kinondoni Iddi Azan ( kulia ) na Mbunge wa Muheza Hebert Mtangi ( kushoto ) wakielekea ndani ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma . Naibu Spika Job Ndugai ( kushoto ) akimsikilza Mbunge wa Same Mashariki Anne Kilango Malecela katika viwanja vya Bunge – D odoma leo.