MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA SHULE YA URAFIKI
Makamu
wa Pili wa Rais Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd leo amezindua ujenzi wa
Skuli ya msingi iliyopewa jina la Urafiki inayofadhiliwa na Serikali ya
Jamhuri ya Watu wa China.
Balozi Seif Idd aliyasema hayo katika
skuli ya Mwanakwerekwe C wakati akizindua ujenzi wa skuli ya urafiki
inayofafdhiliwa na Serikali ya China kwa Dola za Marekani 1.6.
katika
sherehe za uzinduzi wa Skuli hiyo yenye madarasa kumi na mbili,Makamu
wa Rais amesema kwamba wananchi wa Zanzibar wanathamini mchango
unaotolewa na Serikali ya China.
Pia
alisema Serikali inaupa kipaumbele sana mchango huo kwa kuchangia
katika sekta ya Elimu kwani bila ya elimu hakuna maendeleo.
Aidha,
Balozi Seif Idd amesema kwamba Serikali itachukua kila jitihada
kuhakikisha tatizo la vikalio linamalizika katika skuli zote za Unguju
na Pemba alisema.
Utoaji wa madeksi hayo