MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA SHULE YA URAFIKI


Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar,Balozi Seif Ali Idd leo amezindua ujenzi wa Skuli ya msingi iliyopewa jina la Urafiki inayofadhiliwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China.
 
Balozi Seif Idd aliyasema hayo katika skuli ya Mwanakwerekwe C wakati akizindua ujenzi wa skuli ya urafiki inayofafdhiliwa  na Serikali ya China kwa Dola za Marekani 1.6.

katika sherehe za uzinduzi wa Skuli hiyo yenye madarasa kumi na mbili,Makamu wa Rais amesema kwamba wananchi wa Zanzibar wanathamini mchango unaotolewa na Serikali ya China.

Pia alisema Serikali inaupa kipaumbele sana mchango huo kwa kuchangia katika sekta ya Elimu kwani bila ya elimu hakuna maendeleo.

Aidha, Balozi Seif Idd amesema kwamba Serikali itachukua kila jitihada kuhakikisha tatizo la vikalio linamalizika katika skuli zote za Unguju na Pemba alisema.
 Utoaji wa madeksi hayo

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA