Posts

Showing posts from August 25, 2012

Serengeti Fiesta 2012 yaanza kwa kishindo mjini Moshi

Image
Wasanii machachari Bongo Move Wema Sepetu (kushoto) na Aunt Ezekiel wakicheza muziki wa bongo Fleva uliokuwa ukishushwa na Msanii wa Bongofleva,Ferooz katika uzinduzi wa Tamasha la Serengeti Fiesta 2012 Bhaaaaass! katika Uwanja wa Chuo cha Ushirika Mjini Moshi usiku huu. Tamasha hilo limebamba ile mbaya.  Ferooz akiwa na mmoja wa mashabiki wake wakilishambulia jukwaa vilivyo. Sehemu ya wakazi wa mji wa Moshi wakiendelea kushuhudia makamuzi ya wasanii mbalimbali wanaotumbuiza usiku huu kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012. Prezoo akiwarusha mashabiki kibao (hawapo pichani) waliojitokeza jioni ya leo kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 Pichani juu na chini ni mwanamuziki kutoka nchini Kenya na mmoja wa shiriki wa shindano la Big Brother Stargame,CMB Prezoo akitumbuiza jukwaani usiku huu kwenye uzinduzi wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012 ndani ya uwanja wa chuo cha ushirika mjini Moshi. Mmoja wa wasanii wa hi

Miss Eastern Zone 2012 kumsaka Balozi wa Usambara Safari Lodge 2012

Image
Warembo watakao wania taji la REDD's Miss Kanda ya Mashariki 2012 watapanda jukwaani Agost 30, 2012 katika Ukumbu wa Usambara Safari Lodge kumsaka Balozi wa Usambara. Wahi tiketi yako sasa ambapo Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala ataongoza mashambulizi kwa kulipamba jukwaa. Ukikosa ni dhambi.