Rais Kikwete akiongozana na ujumbe uliofuatana na Rais, Sheikh Shariff Ahmed wa Somalia.
Posts
Showing posts from June 3, 2012
MAKAMU WA RAIS DKT. BILALI AZINDUA MAADHIMISHO SIKU YA MAZINGIRA- DUNIANI-KILIMANJARO
- Get link
- Other Apps
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti aina ya Mroliondo katika eneo la Chem chem ya Maji Njoro,leo Juni 03, 2012, ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yanayofanyika Kitaifa Mkoani Kilimanjaro. Kwa muda mrefu sasa, Makamu wa Rais amekuwa mwanamazingira aliye mstari wa mbele katika usimamizi na uboreshaji wa mazingira na hali ya hewa kwa ujumla. Amekuwa akishiriki katika ziara mbalimbali za kimazingira na hali ya hewa ndani na nje ya nchi.
MH.NDUGAI AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI KOREA KUSINI
- Get link
- Other Apps
Mh Ndugai akizungumza na watanzania waishio korea ya kusini katika ukumbi wa chuo kikuu cha dongkukk wakati alipoa alikwa kutoa mada katika mchango au mada inayohusu MCHANGO NA NAFASI YA WATANZANIA WAISHIO NJE KATIKA BUNGE kushoto katika meza kuu ni mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania waishio nchini korea ya kusini ndugu Emmanuel lupilya,na kushoto ni katibu wa jumuiya hiyo ndugu Msofu.