Posts

Showing posts from January 4, 2013

ALIPOZIKWA MAREHEMU SAJUKI.

Image
Rais Kikwete ni miongoni mwa waliohudhuria maziko ya Sajuki leo january 4 2013 Kisutu Dar es salaam. . . Hawa ni miongoni mwa waliokua wanasubiri kuupokea mwili, kwa mbali anaonekana Profesa Jay. . Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji na Mwimbaji Linex ni miogoni mwa wasanii waliohudhuria, wengine ni pamoja na Mwana Fa, Profesa J, Mzee Kitime na King Kikii. . Mwana Fa na Profesa J. King Kikii Mwana Fa na Profesa J. Msanii Z Anto akiswali juu ya kaburi la Marehemu Sajuki. Hapa ndipo alipozikwa Marehemu Sajuki. Zola D kwa mbali. Hili gazeti walilokua wanasoma kulikua na habari kuhusu kifo cha Sajuki. . . Mwili ulipokua unaingizwa.

DEMBA BA ATAMBULISHWA RASMI CHELSEA.

Image

KABLA YA MAZISHI YA MAREHEMU ''SAJUKI'' HII LEO

Image
Mkurugenzi wa Maendeleo na Utamaduni wa Wizara ya Habari Bw. Herman Mwasoka (mwenye suti nyeusi) akimfariji Baba mzazi wa Marehemu Sajuki Mzee Juma Kilowoko alipofika nyumbani kwa marehemu kuhani msiba huo Tabata Bima jijini Dar. Mkurugenzi wa Utamaduni na Maendeleo wa Wizara ya Habari Bw. Herman Mwasoka akitia saini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu Sajuki jijini Dar leo. Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Bi. Joyce Fisso akitia saini kitabu cha maombolezo ya Msiba wa Sajuki. Msanii mkongwe katika tasnia ya muziki wa Dansi na Rhumba Kikumba Mwanza Mpango almaarufu kama King Kiki akitia saini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Marehemu Sajuki Tabata Bima jijini Dar leo. Mzee King Kiki akiteta jambo na Mkurugenzi wa Utamaduni na Maendeleo wa Wizara ya Habari Bw. Herman Mwasoka (katikati) nyumbani kwa marehemu Sajuki jijini Dar leo. Kulia ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Bi. Joyce Fisso Wasanii mbalimbal