Posts

Showing posts from October 29, 2012

MDAU ARNOLD KAYANDA ANG'ARA

Image
Mdau Arnold Kayanda ameremeta na mke wake Aneth wakati wa sherehe yao. Arnold Kayanda akilishwa keki na wife wake. wazee wa kazi wakimeremeta. wanapendeza hawapendezi?. MC Kibonde akifanya vitu vyake.

MKE WA WAZIRI MKUU ATUNUKIWA SHAHADA NA MALECELA

Image
Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, John Samwel Malecela akimtunuku Shahada ya Uongozi wa Biashara, Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda katika Mahafali ya Chuo Kikuu Huria yaliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo hicho Kibaha Oktoba 27, 2012.Kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya ua kutoka wadogo zake Salma Rehani (kulia), Mkaroga Rehani (wapili kulia) na Mabe Rehani baada ya kutunukiwa Shahada ya Uongozi wa Biashara katika mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye vianja vya Chuo hicho, Kibaha Oktoba 27, 2012 ( Picha Ofisi ya Waziri Mkuu) Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa na baadhiimu wa mahafali hayo yaliyofanyika jana Kibaha mkoani Pwani Baadhi ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania Wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipowahutubia kwenye mahafali ya Chuo hicho yaliyofanyika Kibaha, Oktoba 27, 2012. (Picha na Of

RAIS KIKWETE AANZA ZIARA YA MKOA WA KILIMANJARO HAPO JANA

Image
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na viongozi mbalimbali na wananchi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro jana Oktoba 28, 2012 tayari kuanza ziara ya siku nne ya Mkoa wa Kilimanjaro akianzia Wilaya ya Same. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bw. Agrey Marealemmoja wa viongozi wa chama cha mapinduzi CCM mkoani Kilimanjaro wakati alipolakiwa na viongozi mbalimbali na wananchi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro jana Oktoba 28, 2012 tayari kuanza ziara ya siku nne ya Mkoa wa Kilimanjaro akianzia Wilaya ya Same. Rais  Jakaya Kikwete akiangalia vikundi vya ngoma wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA jioni ya jana. Viongozi mbalimbali wa Serikali na vyama vya Siasa wakimlaki Rais Jakaya Kikwete wakati alipowasili mkoani humo kwa ziara ya kikazi. Rais jakaya Kikwete akisalimiana na wananchi mbalimbali waliofika kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa