ALIPOZIKWA MAREHEMU SAJUKI.



Rais Kikwete ni miongoni mwa waliohudhuria maziko ya Sajuki leo january 4 2013 Kisutu Dar es salaam.
.
.
Hawa ni miongoni mwa waliokua wanasubiri kuupokea mwili, kwa mbali anaonekana Profesa Jay.
.
Mchekeshaji Masanja Mkandamizaji na Mwimbaji Linex ni miogoni mwa wasanii waliohudhuria, wengine ni pamoja na Mwana Fa, Profesa J, Mzee Kitime na King Kikii.
.
Mwana Fa na Profesa J.
King Kikii Mwana Fa na Profesa J.
Msanii Z Anto akiswali juu ya kaburi la Marehemu Sajuki.
Hapa ndipo alipozikwa Marehemu Sajuki.
Zola D kwa mbali.
Hili gazeti walilokua wanasoma kulikua na habari kuhusu kifo cha Sajuki.
.
.
Mwili ulipokua unaingizwa.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA