MH.NDUGAI AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI KOREA KUSINI
Mh Ndugai akizungumza na watanzania waishio korea ya kusini katika ukumbi wa chuo kikuu cha dongkukk wakati alipoa alikwa kutoa mada katika mchango au mada inayohusu MCHANGO NA NAFASI YA WATANZANIA WAISHIO NJE KATIKA BUNGE kushoto katika meza kuu ni mwenyekiti wa jumuiya ya watanzania waishio nchini korea ya kusini ndugu Emmanuel lupilya,na kushoto ni katibu wa jumuiya hiyo ndugu Msofu.