TAWI  LA WASHINGTON, DC MARYLAND NA VIRGINIA


Tunapenda kuwatangazia wana DMV wote kwa wale ambao bado hawajaweza kujiandikisha na wanapenda kujiunga na Chama Cha Mapinduzi tawi la DMV, tafadhali tuma jina, anuani na simu yako kwa email;.............. pia kwa maelezo zaidi wasiliana na vingozi wa Tawi Email address:ccmwashdc@gmail.com


1. Loveness Mamuya – Mwenyekiti…….. 240-423-0437
2. Yacob Kinyemi – Katibu ……………………. 202-629-7841
3. Lemi Mhando …………………………………..202-361-1059
4. Benjamini Mwaipaja …………………………….-240-423-6737
5. Given Kasanju…………………………………………443-433-6968
6. Alawi Omar…………………………………………..301-339-3765

Taratibu za kugawa kadi na sherehe za ufunguzi wa Tawi zitafanyika rasmi hivi karibuni, mwana CCM ukipata taarifa hizi mfikishie mwanachama mwingine


Kidumu Chama Cha mapinduzi, CCM Oyee!
Uongozi wa Tawi CCM DMV.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)