NGASA AHAMIA SIMBA

Mchezaji mharufu nchini Tanzania na Afrika mashariki na kati hii leo amekili yeye mwenyewe akisema kwamba ametia sahii kuichezea Simba S.C mabingwa wa Vodacom Premier league msimu wa 2011-2012 nchini Tanzania uhamisho huo ni mkopo ambapo klabu za Yanga na Azam wamekubali uhamisho huo ingawa kuna maneno ya hapa na pale kwamba mchezaji huyo ajawakilishwa kwenye mchakato wa yeye kuhamia klabu hiyo.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA