REDDS MISS MWANZA 2012/13 KUFANYIKA AGOSTI 31


Mrembo
wa mkoa wa Mwanza 2012/13 atapatikana ijumaa ya agosti 31 katika viwanja vya
Yatch Club Mwanza.

Kwa

mujibu wa taarifa iliyotolewa na muaandaji wa kampuni ya Sisi Entertainment
John Doto, amesema shindano hilo
linalovuta hisia za wengi ndani ya mkoa wa Mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla,
litashirikisha warembo tariban 20 kutoka wilaya zote za mkoa Mwanza.



Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA