SHULE JIJINI DAR YATEKETEA KWA MOTO


Shule moja ya sekondari jijini Dar es Salaam imeteketea kwa moto, shule hiyo ya sekondari ni Wazo hill nje kidogo ya jiji hilo ambapo hasara za mamilioni zimeripotiwa kupotea. Moto huo uliozuka mapema asubuhi, inadaiwa ulisababishwa na hitilafu ya umeme.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA