SHULE JIJINI DAR YATEKETEA KWA MOTO

Shule moja ya sekondari jijini Dar es Salaam imeteketea kwa moto, shule hiyo ya sekondari ni Wazo hill nje kidogo ya jiji hilo ambapo hasara za mamilioni zimeripotiwa kupotea. Moto huo uliozuka mapema asubuhi, inadaiwa ulisababishwa na hitilafu ya umeme.