RAIS WA ZANZIBAR AKUTANA NA VIONGOZI WA WIZARA.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la mapinduzi Dkt. Ali Mohamedi Shein leo amekutana na viongozi wa wizara ya Miundombinu na Mawasiliano katika kuangalia muenendo wa kazi katika wizara hiyo katika ukumbi wa mikutano Ikulu mjini Zanzibar.