BILIONEA SAMBEKE AFARIKI DUNIA
Hii ndio ndege ambayo imesababisha kifo cha mfanyabiashara maarufu jijini Arusha na nchini kwa ujumla ndugu Joseph Sambeke(49) ambaye alifariki njiani wakati akipelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi mazishi yake yamepangwa kufanyika Alhamisi katika eneo la Karanga,Moshi.