BILIONEA SAMBEKE AFARIKI DUNIA




Hii ndio ndege ambayo imesababisha kifo cha  mfanyabiashara maarufu jijini Arusha na nchini kwa ujumla ndugu Joseph Sambeke(49) ambaye alifariki njiani wakati akipelekwa hospitalini kwa matibabu zaidi mazishi yake yamepangwa kufanyika Alhamisi katika eneo la Karanga,Moshi.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA