MKUTANO WA MAWAZIRI NA MAKATIBU WA KUJADILI CHANGAMOTO ZA MUUNGANO ZANZIBAR LEO
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Maendeleo Zanzibar Omary Yusuph
Mzee akizungumza na Waziri wa Fedha Uchumi na Mipango wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. William Mgimwa wakati wa mkutano huo.
Mwenyekiti
wa mkutano kujajidili changamoto za muungano Mh. Mohamed Aboud Mohamed
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar,na mwenyekiti mwenza Mh Samia Suluhu Hassan Waziri wa Nchi
ofisi ya Makamu wa Rais muungano wakijadili jambo wakati kwa mkutano
huoPicha zote na Ali Meja Ofisi ya makamu wa Rais