Mbunge wa Ubungo Chadema John Mnyika Akabidhi Zawadi Rasmi Kwa Washindi wa Shindano la Ujasiriamali Jimbo la Ubungo


Mshindi wa Tatu: Seif Juma (19) kutoka Goba Tsh 50,000/-
Mshindi wa Kwanza: Joseph R. Shindo (22) kutoka Kata ya Kimara Tsh 200,000/-
Mshindi wa Pili: Rehema A. Abdallah (25) kutoka Makurumla Tsh. 100,000/-
Washiriki wote wa shindano, pamoja na waratibu na Mbunge wa Jimbo la Ubungo.Picha na Habari Kutoka Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Ubungo
--
Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Ubungo kwa ushirikiano na shirika la Maendeleo Ubungo; Ubungo Development Initiative (UDI) waliendesha shindano la kuwainua wajasiriamali wadogo wadogo kwa kuwataka kuandaa mchanganuo namna gani watatumia Tsh 200,000/- katika kuanzisha au kuiendeleza biashara zako. Washindi waliopatikana ni;

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)