MUNGU IBARIKI KILIMANJARO STARS

Timu ya Taifa Tanzania bara inafahamika kama Kilimanjaro stars inashuka dimbani usiku huu kikosi hiko kikiongozwa na number one Goalkeeper Juma Kaseja wa klabu ya simba ya mitaa ya kariakoo jijini Dar es salaam,Tanzania. Kikosi hiko kinavaana na kikosi cha Uganda the cranes kikiongozwa na mshambuliaji machachari wa klabu ya simba Emmanuel Okwi.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA