WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWATAKA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA SENSA
Waziri Mkuu, Mizengo
Pinda akizindua kampeni ya uhamasishaji wa sensa ya watu na makazi
kwenye viwanja vya mnazimmoja jijini Dar es salaam Agust 17,2012.Watatu
kushoto ni Makamu wa Pili wa rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd na kulia
kwake ni Kamishina wa Sensa, Hajati Amina Mrisho(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)