MIFUGO



Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Mh.Lazaro Nyalandu akisalimiana na viongozi wa wilaya ya Meatu alipotembelea pori la akiba la Maswa.Nyuma yake ni mbunge wa jimbo la Kisesa mkoa wa Simiyu.
Mkuu wa wilaya ya Meatu, Rosemary Kirigini akitoa taarifa yake ya maendeleo ya pori la akiba Maswa kwa naibu Waziri Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu aliyetembelea pori hilo.
Mbunge wa jimbo la Kisesa wilaya ya Meatu Mh. Mpina akitoa salamu zake kwa wafanyakazi na viongozi wa pori la akiba Maswa.
Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akizungumza na wafanyakazi na viongozi wa pori la akiba Maswa.
Naibu Waziri wa Maliasli na Utalii Mh.Lazaro Nyalandu (kushoto) akibadilishana mawazo na mbunge wa jimbo la Kisesa mkoa wa Simiyu Mh. Mpina muda mfupi baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa pori la akiba la Maswa.
Baadhi ya viongozi waliofuatana na naibu waziri wa maliasili na utalii Lazaro Nyalandu kwenye boti kwenda kukagua maendeleo ya hifadhi ya kisiwa cha Saanane.
Naibu waziri wa Maliasili na Utalii Mh.Lazaro Nyalandu (kulia) akiwa kwenye boti akielekea kukagua hifadhi ya kisiwa cha Saanane jijini Mwanza.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA