MCHAKATO WA SERENGETI FIESTA 2012 WAENDELEA KUPAMBA MOTO NDANI YA JIJI LA TANGA


 
Mchakato wa Serengeti Fiesta 2012 ndani ya Tanga ukiendelea ndani ya mitaa kadhaa ya jiji hili. Mtangazaji wa Clouds Fm Adamu Mchomvu, hapa vijana wa kazi kutoka Clouds Fm wakiongea na wakazi wa eneo la Magaoni, Taili Tatu Kata ya Mabawa. Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika tarehe 26.8.2012 katika uwanja wa Mkwakwani.
 Mtangazaji wa Clouds Fm Adamu Mchomvu, akiyaendeleza mastori ndani ya kitaa cha Taili tatu eneo la Magaoni, Kata ya Mabawa, Tanga.
 Mwanadada Loveness Love akiwa na Gossip Cop Tz, Sudi Brown.
Vijana walijitahidi kuonyesha umahili wao wa kuchana michano.
 
 Clouds Tv nayo haikukosa.
 
Mazungumzo ya mtaani yakiendelea.
 
Mtangazaji wa Clouds Fm Adamu Mchomvu na Mwanadada Loveness Love.
 Hapa jamaa alikuwa akitiririka machache ndani ya Clouds Fm/Clouds TV.
 Producer wa Home record ya Tanga nae akimwaga maneno yake juu ya tamasha  fiesta.
 Show Love ikiendelea.
 Show love ndani ya eneo la Magaoni, Taili Tatu Kata ya Mabawa.
Aha! Mzee wa Habari na Matukio (Kajunason Blog) akiwa na Adamu Mchomvu wakiwakilisha na chama la watoto wa Tanga

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA