FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI YA UONGOZI CCM TAIFA ZAANZA KURUDISHWA


Mgombea nafasi ya Mwenyekiti UWT Taifa Bi, Halima Mohamed Mamuya  kulia akirudisha fomu ya kuomba kugombea nafasi hiyo kwa Mkuu wa Idara ya Oganaizesheni  UWT Makao Makuu Bi Riziki Kingwande Dar es salaam leo.
 
Pia leo meya wa wilaya ya Ilala Mh.Jerry Silaa naye amechukua fomu ya kuwania nafasi ya mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya UVCCM.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA