FOMU ZA KUGOMBEA NAFASI YA UONGOZI CCM TAIFA ZAANZA KURUDISHWA
Mgombea
nafasi ya Mwenyekiti UWT Taifa Bi, Halima Mohamed Mamuya kulia akirudisha
fomu ya kuomba kugombea nafasi hiyo kwa Mkuu wa Idara ya Oganaizesheni
UWT Makao Makuu Bi Riziki Kingwande Dar es salaam leo.
Pia leo meya wa wilaya ya Ilala Mh.Jerry Silaa naye amechukua fomu ya kuwania nafasi ya mjumbe wa halmashauri kuu ya taifa ya UVCCM.