YANGA YAAMKA

Yanga ya jijini Dar Es Salaam nchini Tanzania siku ya leo imeamka tena kutoka katika kichapo cha mabao mawili kwa bila, sasa imeshinda mabao saba kwa moja zidi ya Was Salaam ya Sudani ya kusini katika uwanja mpya wa Taifa jijini Dar.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA