BWA. VICENT LYIMO WA KIBOSHO AKABIDHIWA ZAWADI YAKE YA PIKIPIKI KUTOKA SERENGETI


Meneja wa bia ya Serengeti Bw. Allan Chojo kushoto akiongea na waandishi wa habari na wakazi wa kibosho mkoani Kilimanjaro wakati wa kukabidhi zawadi ya pikipiki mpya kwa mshindi wa zawadi hiyo Bw Vicent Lyimo kulia, aliyejishindia kupitia promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO na  inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti (SBL). Katikati ni mke wa Bw Vicent Lyimo Bi. Jesca Vicent Lymo. Picha 02 huku  Bw. Vicent Lyimo na mkewe  wakiwa juu ya pikipiki yao baada ya kukabidhiwa na Bw.Allan Chonjo

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA