WAKALI WA DANCERS WASHEREHEKEA MIAKA 4 TANGU KUANZISHWA
SHEREHE za miaka minne ya kundi la Wakali Dancers jana zilifana ndani ya
ukumbi wa kisasa wa burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem, jijini
Dar. Vikundi vya taarab vya Kings, Coast Modern na Kidumbaki kutoka
Zanzibar pamoja na Talent Band vilifanya ‘bonge la kufuru’ kwa mashabiki
waliofika katika ukumbi huo kwa ajili ya kuburudika wikiendi.
Wakali Dancer wakiwa na bendera yenye nembo yao wakati wakisherehekea miaka 4 ya kuanzishwa kundi lao.
Kundi la Wakali Dancers likishambulia jukwaa.
...wakizidi kunogesha sherehe hizo.
...wakicheza wimbo wa Thriller ulioimbwa na Michael Jackson.
...wakizidi kupagawisha.