WAFANYAKAZI WA BENK WACHANGIA DAMU


Baadhi ya wafanyakazi na wateja wa benki ya Barclays  jijini Dar es Salaam , leo wameshiriki katika kampeni ya uchangiaji damu kwa ajili ya Mpango wa Taifa wa Damu Salama, kampeni iliyoandaliwa na benki hiyo ili kusaidia kuboresha afya ya kina mama na watoto nchini. Pichani, ni Dr Abdu Juma wa Wizara ya Afya na Ushawi wa Jamii pamoja na wateja wengine wa Barclays wakishiriki katika kampeni ya uchangiaji.

 Dickson Joseph akichangia damu katika mpango huo zoezi hilo limefanyika leo jijini Dar es salaam.
 Abdu Juma, Paulo Anthon na Elisante John wakichangia damu katika zoezi hilo lililofanyika leo jijini Dar es salaam.
Zoezi hilo likindedelea.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)