WAFANYAKAZI WA BANK YA UBA WASAIDIA KITUO CHA HOPE FAMILY

Kushoto ni Bw. Rock Meneja mkazi wa benki ya UBA nchini na kushoto ni Victor Meneja wa tawi la benki ya UBA Kariakoo wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakijiandaa pamoja na wafanyakazi wengine wa benki hiyo katika tawi la City Centre Branch Posta,  kwenda Kigamboni ambako walikuwa na mazoezi ya viungo  na baadae walitoa misaada mbalimbali ya kibinadamu ikiwa ni vyakula mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni mbili, katika kituo cha watoto yatima cha cha Hope Family kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.


Kutoka kulia ni Jack, Marjory, Asha na Natasha wakipozi kwa picha wakati wakijiandaa kwenda kigamboni kwa ajili ya kufanya mazoezi na kutoa msaada katika kituo cha watoto yatima cha Hope Family kilichopo Kigamboni jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya UBA wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kwenda kwenye mazoezi Kigamboni jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA