WACHEZAJI WAPYA SIMBA WAANZA MAZOEZI


WACHEZAJI wapya waliosajiliwa na klabu ya soka ya Simba kwa ajili ya kuitumikia katika ligi kuu soka Tanzania bara na michuano ya kimataifa.
Ofisa habari wa Simba Ezekiel Kamwaga (pichani)amesema kwamba nyota hao wameungana na wale wa zamani waluioanza mazoezi wuijki iliyopita.
Kamwaga aliwataja nyota hao wapya ni pamoja na Paul Ngalema, Salim Kinje, Abdallah Juma, Kigi Makassy, Mussa Mude, Patrick Mbivayanga na Ibrahim Kinje.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA