WABUNGE WAPYA WA EALA WAPONGEZANA
Wabunge
wa Bunge la Afrika Mashariki upande wa Tanzania jana usiku mara baada
ya sherehe za Kuapishwa na uzinduzi wa Bunge hilo jipya la tatu
walifanya sherehe ndogo ya kujipongeza iliyofanyika katika Hoteli ya
Kibo Palace ya mjini hapa na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwapo
ndugu jamaa na marafiki.
Awali
mama Maria Nyerere alihudhuria sherehe za Kuapishwa Wabunge hao ambapo
Mtoto wake Charles Makongoro Nyerere nae aliapishwa kulitumikia Bunge
hilo.
Shy-Rose Banji akipongezwa na ndugu na jamaa zake.
Wabunge wakipongezana baada ya kiapo nje ya Ukumbi huo wa Bunge uliopo Jengo la AICC mjini Arusha
Picha ya Pamoja na Spika ilipigwa
Picha ya marafiki na familia
Wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimpongeza Shy Rose.
Mwenyekiti
wa Wabunge wa Tanzania EALA, Alhaji. Adam Kimbisa akinon'goneza Katibu
wake Shy-Rose Banji jambo wakati wa ufunguzi wa tafrija yao.
'Kaka wa Taifa' Makongoro Nyerere akitoa neno la shukrani kwa wageni wote waliohudhuria hapo. Pamoja nae ni Dkt Twaha Issa Taslima
Wana wa Viongozi, Makongoro Nyerere na William Malecela
Abdula Mwinyi na Mkewe kati pamoja na Mbunge wa Bunge la Tanzania, Magige wakipata msosi
Waheshimiwa hawa nao walikuwepo...
Wageni mbalimbali
Lady Jay Dee akifungua shampaing na kuwamiminia watu.
Wakati wa Chiiiiiiiizz!!
Tafrija ilikuwa poa sana na watu walifurahi