TBL YAMZAWADIA ZAWADI YA BAJAJI MSAMBAZAJI BORA KANDA YA KUSINI

Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya BiaTanzania (TBL), Kanda ya Kusini, James Bokela (wa
pili kushoto) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji waKampuni ya Massawe Glosery, Jacob Massawe (wa pili
kulia) ufunguo wa Bajaj yenye thamani ya sh. mil.4.7, baada ya kuwa mshindi wa kwanza wa kanda hiyo kwa usambazaji na uuzaji wa bidhaa za TBL.Wanaoshuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika
Kibaha, Pwani juzi, ni mke wa Massawe, AnnaMassawe na Meneja wa Huduma za Biashara wa TBL,Reginald Mosha.
Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL), Kanda ya Kusini, James Bokela (kushoto) akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa
Kampuni ya Massawe Glosery, Jacob Massawe (wa pili
kulia) na mkewe Anna kwa kupata zawadi hiyo.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)