TAIFA STARS VS IVORY COAST

Beki wa timu ya soka ya taifa (Taifa Stars), Aggrey Morris (kulia) na kiungo Shaaban Nditi (kushoto) wakijaribu kumzuia mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast, Didier Drogba (katikati), wakati wa mchezo wao wa jana wa mchujo kuwania nafasi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia 2014 nchini Brazil, mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny mjini Abidjan. Ivory Coast ilishinda mabao 2-0Didier Drogba akifanya mambo zidi ya Taifa stars Didier Drogba (kushoto) akisalimiana na John Boko wa Taifa Stars baada mechi kumalizika

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)