SHOMARI KAPOMBE NDIYE MCHEZAJI BORA WA MWAKA 2011

kushoto ni mchezaji bora wa mwaka 2011 wa TASWA Shomari Kapombe akiwa na mgeni rasmi wa sherehe hizo Rais mstaafu Alhaji Ali Hassani Mwinyi wa tatu kutoka kulia akimkabidhi mshindi huyo mfano wa hundi yenye thamani ya shillingi za kitanzania miliono kumi na mbili tu jana usiku.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA