SEMINA YA VIONGOZI WA KIDINI ZANZIBAR YAFANYIKA LEO
Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akitoa hutuba yake katika
ufunguzi wa semina ya siku moja kwa Viongozi wa kidini katika kukuza
dhana ya Utalii kwa wote,iliyofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani
Hotel Mjini Unguja leo,(kulia) Msahauri wa Rais masuala ya Utalii,
Issa Ahmed Othman,na Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo,
Said Ali Mbarouk,(kushoto) Katibu mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Ali
Halil Mirza.
Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa
kidini katika kukuza dhana ya Utalii kwa wote,mara baada ya kuifungua
semina ya siku moja iliyofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani
Baadhi ya Viongozi wa madhehebu mbali
mbali ya kidini wa Mkoa wa Mjini Magharibi wakisikiliza kwa makini
hotuba ua ufunguzi wa semina ya siku moja ya Viongozi wa kidini
katika kukuza dhana ya Utalii kwa wote,iliyofunguliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akitoa hutuba yake katika
ufunguzi wa semina ya siku moja kwa Viongozi wa kidini katika kukuza
dhana ya Utalii kwa wote,iliyofanyika katika ukumbi wa Salama Bwawani
Hotel Mjini Unguja leo,(kulia) Msahauri wa Rais masuala ya Utalii,
Issa Ahmed Othman,na Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo,
Said Ali Mbarouk,(kushoto) Katibu mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Ali
Halil Mirza.
Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa
kidini katika kukuza dhana ya Utalii kwa wote,mara baada ya kuifungua
semina ya siku moja iliyofanyika leo katika ukumbi wa Salama Bwawani
Baadhi ya Viongozi wa madhehebu mbali
mbali ya kidini wa Mkoa wa Mjini Magharibi wakisikiliza kwa makini
hotuba ua ufunguzi wa semina ya siku moja ya Viongozi wa kidini
katika kukuza dhana ya Utalii kwa wote,iliyofunguliwa na Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
katika ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja leo.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.]