REDDS MISS NANG'OMBE KUPATIKANA KESHO JUMAMOSI


 Warembo wanaotarajia kuwania taji la Redds Miss Chang'ombe kesho katika ukumbi wa Quality Centre, Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa habari jana kwenye mgahawa mpya wa City Sports & Lounge uliopo mkabala na sanamu ya Askari, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.  (PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)
 Mwandaaji wa shindano hilo, Tom Chilala (kulia) akizungumza kuhusu maandalizi ya kimbembe hicho. Kutoka kushoto ni Meneja wa kinywaji cha Redds kinachodhamini mashindano hayo, Vick Kimaro na Meneja wa Kampuni ya Nexusw Consulting Agency, Neema David.
        warembo wakiwa kwenye pozi

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)