REDDS MISS MTWARA KESHO NI KESHO


Warembo watakaopanda jukwani kumtafuta Juni 2, 2012 kuwania taji la Redds  Miss Mtwara 2012 Wakimsikiliza mkufunzi wao Isabela Mpada (MISS RUVUMA 2006),shindano hilo linataraji kufanyika katika ukumbi wa Makonde Beach mjini humo.
Vimwana wanaoshiriki shindano la Redds Miss Mtwara 2012 wakiwa katika picha ya pamoja.
Warembo wanaowania taji la Redds Miss Mtwara 2012 wakiwa katika picha ya pamoja na muandaaji wa shindano hilo  Rajab Mchatta. Shindano hilo linataraji kufanyika kesho Juni 2, 2012 mjini humo katika ukumbi wa Makonde Beach.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA