RAIS WA ZANZIBAR AKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA CHUO VIKUU VYA CHINA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Kiongozi wa Ujumbe wa Wakuu wa
Vyuo Vikuu vya China, Dk.Jiang Bo,wakati ulipofika Ikulu Mjini
Zanzibar kuonana na Rais   leo       [Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na  Ujumbe wa Wakuu wa Vyuo Vikuu vya
China, unaongozwa na Dk.Jiang Bo,(wa tatu kushoto) wakati ulipofika
Ikulu Mjini Zanzibar kuonana na Rais na kuzumza nao leo.     [Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA