MATUKIO MBALIMBALI YA MHESHIMIWA NDUGAI NCHINI KOREA YA KUSINI
Mwakilishi wa zamani Tanzania wa heshima.Balozi Johan ambaye ndiye alikuwa balozi wa korea ya kusini akimpa maelezo mheshimwa Ndugai karibu na jengo la kumbu kumbu la waliowahi kuwa wafalme wa korea