MATUKIO MBALI MBALI KATIKA MSIBA WA WILLY EDWARD OGUNDE

Mwili wa aliyekuwa Mhariri Mkuu wa gazeti la Jambo Leo, Willy Edward ukuwasili Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam kuhifadhiwa, ukitokea Morogoro alikopatwa na mauti jana.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Concepts, Benny Kisaka (kulia) akimfariji mdogo wa marehemu Willy Edward, Ezekiel Ogunde

Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa karibu na Mochuari Hospitali ya Muhimbili ulikohifadhiwa mwili wa marehemu Edward

Waandishi wa habari wa gaz\eti la jambo leo wakiwa na huzuni wakisubiri mwili wa marehemu Edward. Kultoka kulia ni Asma Mokiwa, Grace Gulisha na Joyce Ngowi
Wanahabari wakimfariji mdogo wa marehemu Willy Edward, Ezekel Ogunde
Waandishi wa habari, Asha Kigundula wa Jambo Leo na Mwani Nyangasa wa Mtanzania wakilia kwa uchungu.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)