LEO MCHANA

Mchana huu wajanja wa mjini wanapata menyu safi katika mgahawa wa City Sports Lounge uliopo jengo la kazi eneo la chini ulipokuwa ubalozi wa Uingereza zamani je?,  wewe unapata wapi menyu yako ya mchana huu, hebu jongea City Sports Lounge ujionee na kupata msosi bomba wa mchana lakini pia kwa mpira na burudani ya muziki  ndiyo penyewe kwani kuna luninga saba katika kila eneo la mgahawa huo na kukupa burudani kwa kila mkao utakaokaa.
Hii ndiyo Mandhali ya City Sports Lounge mchana huu kama inavyoonekana watu wakijipatia menyu yao ya mchana.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA