KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akimpa pole Mbunge wa  Rombo, Joseph Selasini, wodini, katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam, leo. Selasini amehamishiwa Muhimbili kutoka KCMC, kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji mkono alioumia katika ajali aliyopata hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA