Katibu tawala wa mkoa wa Singida, Liana Hassan (wapili kulia) akionyesha ramani ya jengo la utawala la hospitali ya rufani ya Singida ambayo ujenzi unaendelea. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida, Jerome Alute
Nape na ujumbe wake wakikagua majengo ya hospitali hiyo
Nape akionyeshwa ndani ya moja ya majengo ya Hospitali hiyo
KATIBU Tawala wa mkoa wa Singida, Liana Hassan (kushoto) akimpa maelezo Nape kuhusu ujenzi wa hospitali hiyo ulipofika. Kulia ni Alute
Nape akimaliza kukagua majnego ya hospitali hiyo

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA