Katibu mtendaji wa baraza la Taifa la mitihani Tanzania (NECTA),Dk. Joyce Ndalichako leo ametangaza matokeo ya Kidato cha Sita kwa shule zote  za Sekondari nchini,Katika Matokeo hayo,Shule iliyofanikiwa kuongoza ni MARIAN GIRLS iliypo mjini Bagamoyo.

Pia amepunguza adhabu ya miaka 3 na  kusema kuwa sasa adhabu itakuwa ni mwaka 1  kwa watahiniwa waliobainika kufanya udangayifu wa matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2011.
BOFYA HAPA MATOKEO

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)