KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAIPITISHA BAJET YA WIZAEA YA MIUNDOMBINU LEO

Waziri wa wizara ya miundombinu nchini Tanzania mh. John Pombe Magufuli akitoa ufafanuzi kwa waandish wa habari ambao hawapo pichani  wizara hiyo itakuwa na Bajeti ya shilingi za kitanzania 1,023,033,626,000.Mwenyekiti wa kamati hiyo mh. mbunge Peter Serukamba amesema kipaumbele cha bajeti hiyo ni kuhakikisha barabara zote nchini zinaunganishwa kwa kiwango cha lami.
Juzi waziri wa fedha alisema kuwa bajeti ijayo serikali itakuwa ni shilingi trilioni 15 katika vipaumbele saba bajeti inayomalizika ilikuwa ni trilioni 13.5 za kitanzania  Serukamba alisema katika miladi ya maendeleo fedha za ndani ni shilingi 296,896,892,000 na fedha za nje ni shilingi 397,051,380,000na kwamba jumla ni 693,948,272,000
Mishahara ya wizara na taasisi ni 21,340,508,000 shilingi, na mfuko wa barabara ni sh 300,764,800,000,matumizi mengine ni sh 6,980,046,000 na jumla yake ni 329,085,354,000 sh.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)