H.BABA APAGAWISHA TAMASHA LA TIGO WILAYANI BABATI

Msanii wa muziki wa kizazi kipya H,Baba akifanya mambo yake wakwati alipotoa burudani kwenye promosheni ya tamasha la Tigo ilofanyika katika viwanja vya wilayani Babati ambapo  wateja wa Tigo walijipatia zawadi mbalimbali zikiwemo simu, Tishirt na kofia. Ziara hiyo ya Tigo itanayoendelea  kufanyika katika mikoani mbalimbali.
Baadhi ya watu kutoka seemu mbalimbali  wilayani Babati wakifuatilia kwa umakini burudani iliyokuwa ikitolewa msanii wa mziki H Baba.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA