Wadau msipende kujiunga na chama cha Freemason kwani ukiingia humo hautoki makao makuu yao yapo Lagos Nogeria kwa hapa Africa na ndio wanao ongoza dunia sasa hivi na ndicho chama kilicho tabiriwa hata kwenye kitabu kitakatifu cha Biblia  ni chama cha wanao abudu shetani kwa kifupi Ibilisi nimeandika haya kwa sababu nawapenda wote na nataka wote tumuabudu mwenyezi mungu kwani yeye ndio mpaji wa vyote.

Popular posts from this blog

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

Mwanajeshi Aliyepiga Picha na Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema Godbless Lema Kwenye Mkutano wa Hadhara Akamatwa

MATAJIRI WATANO WANAOONGOZA TANZANIA