UCHAKACHUAJI WA MAFUTA SASA BASI - EWURA

Mfanyakazi wa Kampuni ya Global Fluids

International (GFI),Hafidh Kibaya akijiandaa kutia alama maalum ya vinasaba kwenye mafuta ya petroli katika kituo cha Oryx cha kujazia mafuta kwenye malori, Kurasini, Dar es Salaam jana, ili kutokomeza uchanganywaji wa mafuta. GFI imeingia mkataba na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kutia alama ya vinasaba hivyo kwenye mafuta.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)