MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MAFUNZO YA WAKUU WA WILAYA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Jaji Joseph Sinde Warioba ambaye lpia ni Mwenyekiti wa Tume ya  Mabadiliko ya Katiba ambaye alizungumza katika Mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha  Saint Gaspar Mjini Dodoma May 30,2012. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)