BAADHI ZA PICHA KATIKA ZIARA YAKE HIYO HUKO MKOA WA PWANI

MUKAMA, akisalimiana na viongozi wa CCM alipowasili Utete, wilaya ya Rufiji. Wa pili kushoto ni Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Mwanamasudi Pazi.

 VIONGOZI na wanachama wa CCM, wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, Mukama, alipowahutubia Kibiti wilayani Rufiji.

 Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama akiwahutubia wana-CCM katika mkutano wa ndani wakati wa ziara hiyo.

Popular posts from this blog

CATHERINE MASUMBIGANA AWA REDD'S MISS CHANG'OMBE

MAMBO 6 YA KUZINGATIA KATIKA MAHUSIANO

HOTUBA YA MHESHIMIWA PEREIRA AME SILIMA (MB), MWENYEKITI WA BARAZA LA TAIFA LA USALAMA BARABARANI (T)