INASEMEKANA YANGA WAMEMTUMUA KOCHA WAO
Kocha wa Yanga Tom Santfiet
akionekana pichani akikuna kichwa. Kocha huyu wa Kigeni kutoka nchini
Ubelgiji ambaye aliisaidia Yanga kutwaa Kombe la Kagame na kushinda
mechi kadhaa za kirafiki lakini ameshindwa kuonesha makali yake katika
mechi mbili za awali za ligi kuu ya soka Tanzania bara anadaiwa
kutimuliwa katika timu hiyo.