PINDA ATEMBELEA MAONESHO YA NANENANE ARUSHA
Mkuu Mizengo Pinda akifurahia mzinga wa nyuki aliozawadiwa na TASO katika maonesho ya Wakulima Nanenane kwenye uwanja wa Themi Arusha Agust 8, 2012. Kulia ni Naibu Waziri wa Kiolimo na Chakula na Ushirika, Adam Malima (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)