MSHINDI MWINGINE
WASHINDI WENGINE WAWILI WASHINDA ZAWADI ZA SBL, MMOJA ACHOMOKA NA GENERETA , MWINGINE PIKIPIKI
Meneja wa bia ya Serengeti Bw.
Allan Chonjo akitangaza majina ya washindi wa promosheni ya Vumbua Dhahabu chini
ya Kizibo inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti SBL katika makao makuu ya
kampuni hiyo Oysterbay, kulia ni Tumainieli Malisa kutoka PWC na kushoto ni
Abukary kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha.
Meneja wa bia ya Serengeti Bw. Allan Chonjo akiongea na
mshindi wa pikipikiwakati alipompigia simu kumtaarifi juu ya ushindi wake, kulia
ni Joyce Mwijage kutoka kampuni ya bia ya Serengeti, kushoto ni Tumainieli
Malisa kutoka PWC na nyuma aliyesimama ni Abubakary kutoka Bodi ya michezo ya
kubahatisha